kati ya wagombea uraisi TZ 2010 ni yupi ambae angalau anamoyo wa kumuenzi muasisi wa taifa hili jk nyerere kwa matendo ya utetezi wa haki sawa kwa waTz wote? na kwasababu au mifano ipi aliyowahi kufanya au anaifanya mpaka sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.