Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Nimeskiliza interview yake aisee, jamaa kweli alikuwa ni tajiri tu hata asingepata ile pesa juzi.
Ana Ngombe 2000 ukipiga bei ya wastani wa Ngómbe mmoja ya sh. laki 400,000 = unapata kama wastani shilingi 800,000,000
Halafu ana mbuzi 700 ukipiga mara bei ya 150,000 kwa mbuzi mmoja = unapata kama 100,000,000
Ndo mana tukiwaambia kaskazini kuna ma Don muwe mnaelewa.
Halfu mzee wa watu kavaa simple, rubega ya 15000 tu huku superstaa wa bongo fleva anakomaa kuvaa Luis Vutton halafu mfukoni hana hata mia. Daaa haya maisha haya
Ana Ngombe 2000 ukipiga bei ya wastani wa Ngómbe mmoja ya sh. laki 400,000 = unapata kama wastani shilingi 800,000,000
Halafu ana mbuzi 700 ukipiga mara bei ya 150,000 kwa mbuzi mmoja = unapata kama 100,000,000
Ndo mana tukiwaambia kaskazini kuna ma Don muwe mnaelewa.
Halfu mzee wa watu kavaa simple, rubega ya 15000 tu huku superstaa wa bongo fleva anakomaa kuvaa Luis Vutton halafu mfukoni hana hata mia. Daaa haya maisha haya