ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Jamaa si alikuwa anarekodia kenya? Kasha la mwana mpotevu linaonesha address za nairobi, na nilijua ni mkenyaNafikiria kuwasiliana na wale jamaa wa Redio Habari Maalum, hope wanaweza kuwa na kanda za huyu mtumishi. Watu bwana na huduma zao. Nikipata habari zake ama nyimbo zake nitakujulisha mkuu.