Angalau intelligence quotientiq yake iko active kidogo, kusmel fish, kusense na kudetect criminality ya plans na actions za chama chao na hatimae kuescape kisayansi kisiasa
Chadema huwa hawapo serious kabisa na maisha, hivi mfano Tundu Lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu kikamkuta kitu ina maana huyu mwamba ndio angekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?