Yuko wapi Prof. Kulikoyela Kahigi?

Yuko wapi Prof. Kulikoyela Kahigi?

kanali mstaafu

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
4,318
Reaction score
4,114
Ni mtaalamu mbobezi wa lugha na aliwahi kuwa mbunge wa jimbo la Bukombe kupitia tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA. Hivi alirudi tena kwenye kiti chake cha ubunge ama aliangushwa?

Mbona hasikiki kwa kusema chochote kinachohusumbua taifa au chama?? Mwenye kufahamu chochote kuhusu nguli huyu wa kiswahili Afrika Mashariki na kati atuambie..
 
Back
Top Bottom