tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Katika harakati za kukiokoa Chama Cha Mapinduzi ilionekana kuwa Philip Mangula na Abdalahman Kinana wangeweza kufaa. Mangula akaukwaa Umakamu wa Mwenyekiti. Lakini cha kushangaza mzee Mangula hasikiki kabisa. Au ameona siasa wazifanyazo akina Kinana, Nape na Mwigulu za kukimbizana na wapinzani siyo saizi yake?