Yuko wapi mwandishi wetu nguli Paschal Mayalla?

Bhikalamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
2,327
Reaction score
3,339
Mwandishi nguli na mwana JF mwenzetu Pascal Mayalla, amekuwa kinara wa kuandika makala za 'kizalendo' hapa JF za kuonya, kuelimisha, kukosoa na kutabiri.

Lakini kinacho nishangaza tangu tukio la juzi pale kisutu na viunga vya Dar es salaam la kuwashambulia na kuwateka wana Chadema.

'Mzalendo' huyu Paschal Mayalla amekuwa kimya kama vile hakuna kitu kilichotokea. Kulikoni ukimya huu Paschal ?
 
Kalijichanganya juzi na kenyewe kakachukuliwa mateka na polisi wa Saa Mia!
 
Hivi sasa amejificha,hataki kwenda Mabwepande au Bwagamoyo.Kwa maslahi ya taifa imeenda likizo kwa muda vumbi litulie.
 


Huu ni uzi wake wa leo saa moja tu iliyopita
Na wakati unabandikwa uzi wa kumuulizia alipo...alikuwepo jukwaani!!
 
Mjambazi wa mama walipiga kazi sana hadi shetani mwenyewe kashangaa.
 
Huwa hanatabia ya kujificha, yuko upande wao.
 
Anatafakali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…