johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,767
- 141,630
Napitia pitia teuzi za hivi karibuni.
Ndiposa nauliza yuko wapi yule mwanasiasa kijana machachari Paul Makonda aka Baba Keegan?
Mungu ni mwema wakati wote!
Ndiposa nauliza yuko wapi yule mwanasiasa kijana machachari Paul Makonda aka Baba Keegan?
Mungu ni mwema wakati wote!