Binti huyu aliyezaliwa mwaka 1979 amekuwa kimya kwa kipindi kirefu sana.
Amekuwa haonekani kwenye public na hata bungeni amekuwa hasikiki wala hana mchango wowote.
Huyu ana 'ukaribu' na Zitto, ukaribu ambao naomba nisiseme sana.
Muhonga alihusishwa na kutaka kuihujumu chadema akiwa na walioitwa wasaliti.
Mhonga ana digrii moja ya Sosholoji na amekuwa ni mmoja wa wabunge mizigo kwa Chama chake Chadema na kwa walipakodi.
Inaaminika katika kupeana ubunge kindugu, waliamua kumpa huyu 'mtu wa karibu' na Zitto ili kubalansisha.
Yuko wapi MHONGA RUHANYWA?
Amekuwa haonekani kwenye public na hata bungeni amekuwa hasikiki wala hana mchango wowote.
Huyu ana 'ukaribu' na Zitto, ukaribu ambao naomba nisiseme sana.
Muhonga alihusishwa na kutaka kuihujumu chadema akiwa na walioitwa wasaliti.
Mhonga ana digrii moja ya Sosholoji na amekuwa ni mmoja wa wabunge mizigo kwa Chama chake Chadema na kwa walipakodi.
Inaaminika katika kupeana ubunge kindugu, waliamua kumpa huyu 'mtu wa karibu' na Zitto ili kubalansisha.
Yuko wapi MHONGA RUHANYWA?