Mbunge anatekeleza sera ya serikali, yeye ni sauti ya mananchi eneo husika sasa ikiwa serikali mbovu mipangilio mibovu... muhimu ni kuipiga chini serikali ya mafisadi kwa kuongeza 3/4 ya wapinzani, muhimu ni tuko tayari, Allah atatusaidia.
Watu wa Ukerewe wapo na ni makini. Asubuhi huwa ni biashara na jioni ni mahesabu. Machemuli alifanya biashara na Wakerewe. Na sasa muda huu anasubiriwa akatoe mahesabu. Makusanyo ni bei gani kwa kura alizopewa. Nadhani kama hesabu hazitatimia kitaeleweka.