mzee anapumzika,kawaachia vijana kwani kazi siyo kubwa sana
Nadhani yupo bize na kampeni. Katibu Mkuu wa Chama anatakiwa afanye kampeni za kusaka kura kichini chini au zinazoitwa za ndani na wengine waende majukwaani. Pili Katibu Mkuu kama mwenyekiti wa kamati ya kampeni anatakiwa kuandaa mipango ya chama ikiwa ni pamoja na kusaidia walio mstari wa mbeleNimekuwa nikifuatilia sana mikutano ya Magufuli na nimekuwa na maswali ya kujiuliza kuhusu Kinana. Mbona simuoni katika kampeni za magufuli au na yeye ameamua kumsusa kama walivyofanya Mkapa na Mwinyi?
Ha hahaaa na kweli. Wee unapigika kila siku halafu wakuja anavuna fastaaa. Hata mi nisingekubaliAmeshachukua chake baada ya kuona Kina Slaa na Lipumba wamelambishwa mpunga bila kufanya kazi yoyote akaona atakufa masikini...chukua chako mapema...
Mkapa na Mwinyi wale ni wazee sana. Hawaziwezi kashkash za kampeni. Na Mkapa ukimpa kazi ya kukukampenia ujue ndo amekuharibia.Nimekuwa nikifuatilia sana mikutano ya Magufuli na nimekuwa na maswali ya kujiuliza kuhusu Kinana. Mbona simuoni katika kampeni za magufuli au na yeye ameamua kumsusa kama walivyofanya Mkapa na Mwinyi?
mzee anapumzika,kawaachia vijana kwani kazi siyo kubwa sana
Anawinda....swala lakini
Kuna bilioni moja ya hela ya mabango ya ccm haijulikani ilipo, miongoni mwa watu wanaoweza kujua ni dentist.
mzee anapumzika,kawaachia vijana kwani kazi siyo kubwa sana