Yuko Wapi Hashim Thabit Kwa Sasa.

Jokic mtu na nusu yule. Kwake suala la triple double ni kawaida kabisa double double ndio balaa Sasa.
MVP mwaka huu kuna possibility kubwa kwenda kwa Jokic au Joel Embiid, ambao ni centers.

Wa mwisho kushinda
MVP akiwa ni center ni Shaquille O'Neil, mwaka 2000. Imagine, 20 years.

Game imechange. Hasheem hakuchange na game ana hakuwa akifanya juhudi zaidi kwenye mazoezi.
 
Kocha Mkuu kuna dogo mtanzania anaitwa Atiki Ally Atiki nae nasikia alisajiliwa na moja ya klabu za NCCA. Vip unamfahamu? Tutegemee kumuona lini nba endapo atafanya vizuri
 
At least now James won’t have to worry about losing another NBA Finals for a couple years.

Coz let’s face it, the Lakers, as presently constructed, are not title contenders.

They’ll be bounced early in the playoffs.

Not unless there’s more power moves up Magic Johnson’s sleeve that he’s about to pull.

Other than that, the kings of the West are GSW and the Houston Rockets [if everyone stays healthy].

James’ moving out west is his saving grace.

Sad, but true.

Mkuu mbona unabandika vitu vya miaka iliyopita?

Are you sure hii ni post ya mwaka huu?
 
MVP mwaka huu kuna possibility kubwa kwenda kwa Jokic au Joel Embiid, ambao ni centers.

Wa mwisho kushinda
MVP akiwa ni center ni Shaquille O'Neil, mwaka 2000. Imagine, 20 years.

Game imechange. Hasheem hakuchange na game ana hakuwa akifanya juhudi zaidi kwenye mazoezi.
Nafikiri, zile hisia za kibongo bongo zilitawala hisia zake. Huku nyumbani vyombo vya habari vilimbeba na kumtangaza sana. Alitosheka na hilo
 
"Hashimu Sabiti" alifanya upuuzi sana,alikuwa anaingiza zaidi ya bil 5 kwa mwaka ,amelewa sifa na kuchukua kina kidoti muda mwingi anashinda club kupigana na kina TID hafanyi mazoezi matokeo yake likaloose uwezo na likafurushwa.
 
Kocha Mkuu kuna dogo mtanzania anaitwa Atiki Ally Atiki nae nasikia alisajiliwa na moja ya klabu za NCCA. Vip unamfahamu? Tutegemee kumuona lini nba endapo atafanya vizuri
Anaendelea vyema tumuombee muda kiasi ili akiingia afanye vyema zaidi. Pia kulikuwa na jembe linaitwa Sam bahati mbaya alitangulia mbele ya haki ... Huyu alikuwa wametokama hasheem chuo kimoja

Atiki anajua nini anafanya same to Late Sam he was very fine sema tragically bata zilimswipe
 
"Hashimu Sabiti" alifanya upuuzi sana,alikuwa anaingiza zaidi ya bil 5 kwa mwaka ,amelewa sifa na kuchukua kina kidoti muda mwingi anashinda club kupigana na kina TID hafanyi mazoezi matokeo yake likaloose uwezo na likafurushwa.
Eti "Hashim Sabit"
 
Kocha Mkuu
Watu wanasema HT alikuwa akija dar asubuhi na mchana walikuwa wanamkuta ana train IST ,so sio kweli kwamba alikuwa ha train off season but mambo yana mambo zake
Kupigana na tid ni usiku klabu which hata wengine wanafanyaga kama JR smith nk and still game kinawaka tu?

Watetezi Wa HT hawataki kukiri Kwamba Dogo Alikuwa na MAPUNGUFU yake na hakufanya juhudi. Since alikuwa Unhardworker to make it to the NBA.

Nadhani ukiacha changamoto nyingine za nje ya uwanja, uchezaji wake ulikuwa tayari umepitwa na wakati though nadhani angekuwa Mmarekani angeendelea kubaki NBA
 
Naam huyo dogo namfuatilia kwa ukaribu sana
Anaendelea vyema tumuombee muda kiasi ili akiingia afanye vyema zaidi. Pia kulikuwa na jembe linaitwa Sam bahati mbaya alitangulia mbele ya haki ... Huyu alikuwa wametokama hasheem chuo kimoja

Atiki anajua nini anafanya same to Late Sam he was very fine sema tragically bata zilimswipe
 
HT ameshindwa ata kucheza kwenye zile klabu za Euroleague, wachezaji wengi kutoka NBA naona wanakimbilia huko
Kocha Mkuu
Watu wanasema HT alikuwa akija dar asubuhi na mchana walikuwa wanamkuta ana train IST ,so sio kweli kwamba alikuwa ha train off season but mambo yana mambo zake
Kupigana na tid ni usiku klabu which hata wengine wanafanyaga kama JR smith nk and still game kinawaka tu?

Watetezi Wa HT hawataki kukiri Kwamba Dogo Alikuwa na MAPUNGUFU yake na hakufanya juhudi. Since alikuwa Unhardworker to make it to the NBA.

Nadhani ukiacha changamoto nyingine za nje ya uwanja, uchezaji wake ulikuwa tayari umepitwa na wakati though nadhani angekuwa Mmarekani angeendelea kubaki NBA
 
Kocha Mkuu
Watu wanasema HT alikuwa akija dar asubuhi na mchana walikuwa wanamkuta ana train IST ,so sio kweli kwamba alikuwa ha train off season but mambo yana mambo zake
Kupigana na tid ni usiku klabu which hata wengine wanafanyaga kama JR smith nk and still game kinawaka tu?

Watetezi Wa HT hawataki kukiri Kwamba Dogo Alikuwa na MAPUNGUFU yake na hakufanya juhudi. Since alikuwa Unhardworker to make it to the NBA.

Nadhani ukiacha changamoto nyingine za nje ya uwanja, uchezaji wake ulikuwa tayari umepitwa na wakati though nadhani angekuwa Mmarekani angeendelea kubaki NBA
Kuna wamarekani wamekua wana kila kitu kutimiza ndoto zao kucheza nba lakin walichemka.. ijekuwa hashim ambae ameanza kucheza basketball umri ukiwa ushaenda!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom