Mbowe ni mwizi hana kipaji chochote si mtoto wa bilionea bali baba yake alikuwa na utajiri wa kawaida tu siyo wa ubilionea, Mbowe katajirika kwa wizi wa pesa za chadema, pesa za Asali alipotoka jela, Pesa za udalali kutoa watu chadema kuwauza chauma, Mbowe kajaa pesa Haramu ndiyo maana kajificha ale kimya kimya kwa kuwa ana Tabia ya uchoyo uliopitiliza