Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,312
Wakuu huyu dada sijamuona siku nyingi bungeni na hata uraiani
Namkumbuka sana wakati alivyomuumbua ngeleja alivyojaribu kuchangisha taasisi za serekali zilizochini ya wizara ya nishati na madini pesa ili apitishe bajeti yake..
Nilimuona anafaa kuwa mpambanaji ghafla akazimika
Kuna anayejua alipo??
Namkumbuka sana wakati alivyomuumbua ngeleja alivyojaribu kuchangisha taasisi za serekali zilizochini ya wizara ya nishati na madini pesa ili apitishe bajeti yake..
Nilimuona anafaa kuwa mpambanaji ghafla akazimika
Kuna anayejua alipo??