We jamaa muongo sana,,mara kafulila hali mbaya,mara nccr inaweza pata ubunge kwa kafulila tu sasa tukueleweje? Husomeki kabisaaaa,,,zito ataibuka mshindi kwa act,lkn nccr watayashikiria majimbo yao trh 25 ,na cdm watapata kama kigoma kaskazini,na the rest itakuwa kati nccr na ccm.