Yu wapi Zitto Kabwe?

Zitto yuko bize na kuchukua majimbo tarehe 25utajua kwa nn alikuwa kimya acheni ubwege kama mmekalia ncha za misumari ukitaka azunguke na mama mpe uone kama hatazunguka nae ----- ww
 
jimboni Kwake maji ya Shingo. Kushinwa ni 70% hadi sasa; Jimbo Ukawa Wanabeba.

Zitto ni RAIS wa Kigoma. Akiwaambia wavuvi wa dagaa wasiuze dagaa, Tz nzima hatuli dagaa wa kigoma. Jimbo lake keshalichukua mapema sana.
 

NCCR wana uwezo wa kupata jimbo moja tu Kigoma,Kafulila, CCM watashinda Kigoma Kaskazini na Kibondo,majimbo mengine yote ni ACT Wazalendo.
 
analipa kile anachopanda,huyu kijana tumemsukuma kutoka ubungo ,baadaye akashuka tukatembea naye kwa miguu mpaka jangwani wazee na umri wetu lkn baadaye naye anaanzisha DEAL???????????? jameni mungu ambariki sana
 
Lumenyera Mbunge anaesubiliwa kuapishwa Kigoma mjini kupitia CHADEMA na UKAWA kambana wakala wa Manamba
 
Hahahahahahaha Ukiona mtu mzima anaanza kuropoka ujue umemshika pabaya viva Lumenyera viva CHADEMA viva UKAWA
 



Hata mimi Arushaone sijui aliko huyo dogo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…