Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama Salma Kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 March 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip:
Kapigwa chini.... sasa hivi rais ana kigoli kipya... Hii ni kwa mujibu wa waliohudhuria sherehe za harusi.!!!!!!!!!!!!!!!!!!:juggle:
WanaJF wenzangu... threads kama hizi zinatuvua nguo na kutudhalilisha members wote wa JF
nadhani ni wakti muafaka sasa kutumia utashi na busara kuliko kuendelea kuchafua hew namna hii
Hivi mtu akija akaulizia mkeo humu au mamako ni sawa?
jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama salma kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 march 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip:
WanaJF wenzangu... threads kama hizi zinatuvua nguo na kutudhalilisha members wote wa JF
nadhani ni wakti muafaka sasa kutumia utashi na busara kuliko kuendelea kuchafua hew namna hii
Hivi mtu akija akaulizia mkeo humu au mamako ni sawa?