Jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama Salma Kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 March 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip:
Jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama Salma Kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 March 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip:
jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama salma kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 march 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip:
MTM hapa ni mahali pa kujua habari za wanasiasa na mambo yao. Kama mkeo au mamako ni wanasiasa no problem tutawazungumzia. Kama mkeo ni mwanchi wa kawaida tu kwanza hata hatutamjua na hatutakuwa na issue naye maana licha ya kutomjua pia HATUHUSU. Huyu mama alikuja kuomba KURA kwetu hivyo anatuhusu sana whether kwa ubaya au kwa uzuri. Ni mwanasiasa huyo wala siyo mke wa mtu.