Yu wapi Naibu Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Biteko?

Yu wapi Naibu Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Biteko?

WA Nini sasa?
Mimi naulizia alipo Tesha kijana pekee aliyetoka waziwazi akamchana afande CDF
TESHA kapelekwa vitani Ukraine kama adhabu.Tumuombee maana kurudi ni majaliwa
 
Kuwaza umagufuli kwenye hawa watu ni upuuzi wa hali ya juu tena mkubwa mno... Ukweli uko wazi kwenye hili kwa kila mwenye akili anajua kasoro takataka fulani zinazowaza siasa tu.
 
Jamaa alikua anajimwambafai..eti akajiwekea lami hadi mlangoni kwake.
 
Jamaa ni kama kachanganyikiwa vile,kuondolewa ulinzi na escot+masaluti kama yote..sasa hivi anatembelea bajaji.
 
Jamaa ni kama kachanganyikiwa vile,kuondolewa ulinzi na escot+masaluti kama yote..sasa hivi anatembelea bajaji.
Kweli anatembelea bajaj, kwamba Hana Gari binafsi, au anaigiza aonekane Lofa tu,

Mimi siamini kama Hana Gari, kwa cheo alichopitia na ufisadi uliopo serikalini,
 
Jamaa ni kama kachanganyikiwa vile,kuondolewa ulinzi na escot+masaluti kama yote..sasa hivi anatembelea bajaji.
Kitu ambacho hukijui ni kwamba mwamba analindwa mpaka anakufa na masalute juu
 
Back
Top Bottom