Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,526
Habari za wakati huu, weekend inaendaje huko mliko wakuu
Binafsi nilikuwa sijui Hata kama leo ni jumamosi walai😁😁..tuachane na hilo 😊
Katika pitapita zangu mitandaoni leo nikakutana na picha ya Jackie Apiah (actress kama sio Nigeria basi Ghana)
Mara ghafla Id ya Mtende ikakatiza kichwani chwaaa😁.nikasema isiwe tabu ngoja Nimcheki 😳inaonesha post ya mwisho ni March...🤔
Ninaimani kuna watu wanafahamiana nae humu ndani😊.huyu mtu huko alipo ni mzima?
Nawasilisha.
Binafsi nilikuwa sijui Hata kama leo ni jumamosi walai😁😁..tuachane na hilo 😊
Katika pitapita zangu mitandaoni leo nikakutana na picha ya Jackie Apiah (actress kama sio Nigeria basi Ghana)
Mara ghafla Id ya Mtende ikakatiza kichwani chwaaa😁.nikasema isiwe tabu ngoja Nimcheki 😳inaonesha post ya mwisho ni March...🤔
Ninaimani kuna watu wanafahamiana nae humu ndani😊.huyu mtu huko alipo ni mzima?
Nawasilisha.