Naona leo CCM imepandisha dau maana mnajipanga kama wanne kabla hamjaanzisha mada kibudu
Ama kweli ukimshika Simba sharubu, utajeruhiwa....
Sipati majibu hapa zaidi ya matusi na kejeli. Au ndo mambo ya mkuki kwa nguruweeee..
Wapi JF, naombeni majibu.....
Nawakilisha Oktoba 31