Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Naomba kujuzwa wanajamvi. Huyu mama mara ya mwisho nilisikia atahojiwa na TAKUKURU kuhusu tamko lake, kwamba Kuna upungufu wa sukari nchini, hivyo serikali iluhusu uagizwaji wa sukari toka nje.
Mwenye taarifa zake anijuze.
Mwenye taarifa zake anijuze.