huyu mtu ni muhimu kwao hasa ukiangalia kuna uwezekano wa vita na iran inawezekana kapata unafuu ila wamenyamaza makusudi.Hawa jamaa ni kiboko wa interegensia kwani waliwahi kuiba mkojo wa aliyekuwa mfalme wa Moroco walipoupima wakatangaza ana kansa na atakufa baada ya muda fulani