Youssouph Dabo ulikuwa mbuzi wa Kafara pale Azam

Youssouph Dabo ulikuwa mbuzi wa Kafara pale Azam

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Baada ya kufungwa na Singida, sasa rasmi Azam FC hawatoweza kufikia idadi ya alama walizomaliza nazo msimu uliopita (69) walipokuwa chini ya kocha msenegali Youssouph Dabo, mpaka sasa Azam wana alama 51, wamesalia na mechi 5 ambazo hata wakishinda zote watafikisha alama 66.
1744011098543.jpg

Tusamehe sana Kocha Youssouph Dabo ulikuwa Mbuzi wa kafara. Mungu akubariki sana kwa kazi yako.
 
Azam hakuna timu pale. Hata wachezaji kama Fei Toto, ni tamaa tu ya hela ndiyo imewapeleka Azam.
Sio Tamaa Kwenye Pesa Hakuna Tamaa Bali Ni Maslahi Mazuri Zaidi Sasa Kuna Faida Gani Unapambana Wee Mwisho Wa Siku Maslahi Ni Ya Hovyo Hovyo Maisha Ni Yako Zaidi Na Ndio Maana Kila Mmoja Anapambana Na Yake
 
Azam sijui wana tatizo gani! Kocha wao ana cv kubwa sana, kabeba mpaka kombe la caf confederation cup... amefundisha timu nyingi kubwa kama timu ya taifa Morocco, Raja Casablanca, wydad Casablanca, Rs Berkane, Cr Belouzdad... Kuna kitu hakiko sawa pale Azam fc
 
Back
Top Bottom