warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
- Thread starter
- #41
Nimependa comments za wadau.
Ni kumpa mtu makavu live.
Muda mwingine ni vizur Tu kusikiliza na kukaa kimya kuliko kupinga vitu ambavyo hamvijui, ndio maana nikaitwa warumi , naipenda kazi yangu na siku zote mmekua mkiniamini kwenye sekta hii ya umbea
Itafika kipindi mambo yote yatakua hadharani , mtasema tu , warumi alituambia, lol