Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hapo nimekuelewa ila watanzania wote tunatakiwa tubadirike, tusiangalie mafanikio tu, tuangalie na hasara na kero znazotuzunguka,
Kama umeshawahi kucheza mpira hata wamchangani utajua mpira wa kbongo unakasoro kbwa sana na tnahtaji tbadirike,asilimia kbwa tmeendekeza ushirikina, angalia mechi ya watani wa jadi, utasikia mara tmu imeenda kambi bagamoyo, uunguja, pemba, nk. Lakini zkiwa znacheza mechi za klab bingwa hayo maandalizi hayapo, unafikiri tnahitaji MZUNGU ili tubadirke?

Timu bora hujiaandaa bla kjari inacheza na timu gani, hata kama ni mpzan wa jadi maandaliz hayatofautiani sana na mechi zngne, Nakbari DAR YOUNG AFRICANS is a great team never ever, but mabadiriko ya kisasa is needed,
 
Hapo nimekuelewa ila watanzania wote tunatakiwa tubadirike, tusiangalie mafanikio tu, tuangalie na hasara na kero znazotuzunguka,
Kama umeshawahi kucheza mpira hata wamchangani utajua mpira wa kbongo unakasoro kbwa sana na tnahtaji tbadirike,asilimia kbwa tmeendekeza ushirikina, angalia mechi ya watani wa jadi, utasikia mara tmu imeenda kambi bagamoyo, uunguja, pemba, nk. Lakini zkiwa znacheza mechi za klab bingwa hayo maandalizi hayapo, unafikiri tnahitaji MZUNGU ili tubadirke? Timu bora hujiaandaa bla kjari inacheza na timu gani, hata kama ni mpzan wa jadi maandaliz hayatofautiani sana na mechi zngne, Nakbari DAR YOUNG AFRICANS is a great team never ever, but mabadiriko ya kisasa is needed,

hata mbuyu ulianza kama mchicha...
So mabadiliko yanakuja na yameshaanza jangwani kwani wachezaji wanakaa kambini kwenye kengo lao lililopembezoni mwa uwanja wa mazoezi kama zilivyo timu za ulaya.

Mabadiliko hayawezi kuletwa na simba ambao wameshindwa hata kupaka rangi jengo lao..
Kama ai upuuzi ni nini?
 
i1334_a.jpg

i1332_YANGA.JPG
i1331_Yangakikosiiii2.JPG
i1330_yanga12bc.jpg

i1329_yangasc.JPG

i1322_Yanga2.jpg
i1321_yanga7.jpg
i1320_yanga6.jpg

i1319_yanga5.jpg
i1318_Yanga4.jpg
i1317_Yanga3.jpg


Source: Keynez
& [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Young_Africans_FC[/ame]

For player's name kindly please visit: https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/48330-rare-pictures-from-my-personal-album-2.html
 
Mie sio mpenzi wa Yanga ila nimependezwa sana na picha za Yanga ya zamani ambapo wachezaji wanaonekana wana miili mikubwa na ya kifutboli kweli kweli unlike picha ya kwanza vichezaji vinaonekana vidogo utafikiri timu ya shule ya sekondari mkoa wa Rukwa...!
 
Mie sio mpenzi wa Yanga ila nimependezwa sana na picha za Yanga ya zamani ambapo wachezaji wanaonekana wana miili mikubwa na ya kifutboli kweli kweli unlike picha ya kwanza vichezaji vinaonekana vidogo utafikiri timu ya shule ya sekondari mkoa wa Rukwa...!
umeona eeh...
 
Mie sio mpenzi wa Yanga ila nimependezwa sana na picha za Yanga ya zamani ambapo wachezaji wanaonekana wana miili mikubwa na ya kifutboli kweli kweli unlike picha ya kwanza vichezaji vinaonekana vidogo utafikiri timu ya shule ya sekondari mkoa wa Rukwa...!
Mkuu hakuna shule ya sekondari yenye jina hilo i.e mkoa wa Rukwa.
 
Yanga imara-bujibuji,Semenya-Yanga for life,Umeona eeh- Pape,Vidume vya mbegu- Kwayu G, Samahani kama nitakuwa nimewaudhi niliowataja hapo juu kwani haikuwa nia yangu,kwanza niseme ukweli kabisa Picha hizo ni nzuri na nikushukuru kwani umeniwezesha kupata copy ya picha za miaka ya nyuma ambazo sikuwa nazo,ila maoni yanazidi ukweli halisi wa timu zetu hasa Simba na Yanga, wanakuwa vidume vya mbegu kwa lipi hasa kwa mafanikio gani yakujivunia waliyoyapata Yanga ama hata hao wenzao wa Simba,hizo ni baadhi ya timu kongwe zisizo na mafanikio yoyote ya maana,lets be realistic jamani hii mitimu ya Yanga na Simba haina uwezo wowote zinapokwenda kwenye Klabu bingwa Africa ama Kombe la Shirikisho,hatuna cha kujivunia toka kwa hizi timu zilizojaa uswahili na ubabaishaji, si kwamba hatuna wachezaji hapana due to poor management timu hizi zitaendelea kuwa za kiswahili tu.Sitaki kusema sana ila hatuna cha kujivunia hata kimoja.
 
Yanga imara-bujibuji,Semenya-Yanga for life,Umeona eeh- Pape,Vidume vya mbegu- Kwayu G, Samahani kama nitakuwa nimewaudhi niliowataja hapo juu kwani haikuwa nia yangu,kwanza niseme ukweli kabisa Picha hizo ni nzuri na nikushukuru kwani umeniwezesha kupata copy ya picha za miaka ya nyuma ambazo sikuwa nazo,ila maoni yanazidi ukweli halisi wa timu zetu hasa Simba na Yanga, wanakuwa vidume vya mbegu kwa lipi hasa kwa mafanikio gani yakujivunia waliyoyapata Yanga ama hata hao wenzao wa Simba,hizo ni baadhi ya timu kongwe zisizo na mafanikio yoyote ya maana,lets be realistic jamani hii mitimu ya Yanga na Simba haina uwezo wowote zinapokwenda kwenye Klabu bingwa Africa ama Kombe la Shirikisho,hatuna cha kujivunia toka kwa hizi timu zilizojaa uswahili na ubabaishaji, si kwamba hatuna wachezaji hapana due to poor management timu hizi zitaendelea kuwa za kiswahili tu.Sitaki kusema sana ila hatuna cha kujivunia hata kimoja.
Achievements



  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzanian_Premier_League"]Tanzanian Premier League[/ame]: 17
1968, 1969, 1970, 1971, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2003, 2005, 2006, 2008, 2009
  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Nyerere_Cup"]Tanzanian Cup[/ame]: 4
1975, 1994, 1999, 2000
  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CECAFA_Clubs_Cup"]CECAFA Clubs Cup[/ame]: 3
1975, 1993, 1999Performance in CAF Competitions



  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League"]CAF Champions League[/ame]: 6 appearances
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_1997"]1997[/ame] - Preliminary Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_1998"]1998[/ame] - Group Stage [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_2001"]2001[/ame] - Second Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_2006"]2006[/ame] - Preliminary Round [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_2007"]2007[/ame] - Second Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Champions_League_2009"]2009[/ame] - First Round
  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs"]African Cup of Champions Clubs[/ame]: 11 appearances
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1969"]1969[/ame]: Quarter-Final[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1970"]1970[/ame]: Quarter-Final[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1971"]1971[/ame]: withdrew in Second Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1972"]1972[/ame]: First Round [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1973"]1973[/ame]: First Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1975"]1975[/ame]: Second Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1982"]1982[/ame]: Second Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1984"]1984[/ame]: First Round [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1988"]1988[/ame]: First Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1992"]1992[/ame]: First Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Cup_of_Champions_Clubs_1996"]1996[/ame]: Preliminary Round
  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Confederation_Cup"]CAF Confederation Cup[/ame]: 2 appearances
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Confederation_Cup_2007"]2007[/ame] - Intermediate Round[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Confederation_Cup_2008"]2008[/ame] - Second Round
1995 - Quarter-Final2000 - First Round
  • [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CAF_Cup"]CAF Cup[/ame]: 1 appearance
1994 - First Round1999 - First Round

Unataka nini tena?
 
katika hayo yote ulijaribu kuyataja mafanikio yako wapi,WE UNAONGELEA USHIRIKI NA SI MAFANIKIO,jaribu kutofautisha ushiriki kimataifa na mafanikio kimataifa,ni mafanikio gani wameyapata, tumeona klabu kama Enyimba kwa mfano ilikuja kwa kasi ikachukua na kombe la klabu bingwa hayo yalikuwa ni mafanikio. kwa sasa wamekuwa washiriki na hawafanyi vizuri sana na kwa kuwa wanashiriki na hawafanyi vizuri hayo si mafanikio bwana PAPE.
 
Mie sio mpenzi wa Yanga ila nimependezwa sana na picha za Yanga ya zamani ambapo wachezaji wanaonekana wana miili mikubwa na ya kifutboli kweli kweli unlike picha ya kwanza vichezaji vinaonekana vidogo utafikiri timu ya shule ya sekondari mkoa wa Rukwa...!


Hizi Yanga za siku hizi zingecheza na Yanga za zamani wangepigwa goli nyingi sana.

By the way, Pape, nimeweka maelezo ya picha zote kule Jamii Photos.
 
Back
Top Bottom