You are my King .....

You are my King .....

Wow!

Naona siku hizi watu wameacha kuhisi mimi ndo Dadii 🤣🤣

ā€œWajuajiā€ wa JF bana [emoji1][emoji1][emoji1]

Hujambo lakini we bibie?


Hahahahhaaaa ndo unawaamsha sasa warudi kuhisi kuwa wewe ndo Dadii.... Hadi wakawa wanakuonea wivu kwa mahaba nnayoweka humu.....

Halafu kuna ID ilikuja kabisaa kama Dadii kipindi uko resti ini pisi (heheheh)

Mie sijambo kabisa babujii Jabuu nimekumisimoo hadi nasikia kiwi ya maji ya nazi..... Hiviii, dafu kwa kiingereza linaitwajee hahahahaha

Is it a sin if I hug you.... What if I kiss you..... Mmuah ooh let me munch you ..... Aaannggghmmm uuhhh taamuuu hahahhahahahaaaa

Msalimie Dadii wangu ukimuona....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom