Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,239
- 22,674
Umofia kwenu.
Wakuu majuzi ilikuwa birthday ya yondani kama sikosei. Jamaa ni moja ya ma legend katika ligi yetu na bongo kiujumla.
Hivyo u_legend wake ilitakiwa iwe mfano mzuri kwa wadogo zake kina mzize lakini bwana mkubwa bado ana usela wa kizamani.
Achana na matukio yake mengi kama vile kumtemea mate asante kwasi. Pia kumpiga mayele teke la pumbu.
Majuzi pia alikuwa akimkanyaga max nzingeli wakati wa kuweka ukuta kuzuia faulo mpaka mtoto wa watu alalamika
"bro vipi mbona unanikanyaga nimekukosea nini?"
Mwenzie juma nyoso kaamua kubadilika kule ihefu kwa sasa ila huyu yondani bado msela mavi.
Wakuu majuzi ilikuwa birthday ya yondani kama sikosei. Jamaa ni moja ya ma legend katika ligi yetu na bongo kiujumla.
Hivyo u_legend wake ilitakiwa iwe mfano mzuri kwa wadogo zake kina mzize lakini bwana mkubwa bado ana usela wa kizamani.
Achana na matukio yake mengi kama vile kumtemea mate asante kwasi. Pia kumpiga mayele teke la pumbu.
Majuzi pia alikuwa akimkanyaga max nzingeli wakati wa kuweka ukuta kuzuia faulo mpaka mtoto wa watu alalamika
"bro vipi mbona unanikanyaga nimekukosea nini?"
Mwenzie juma nyoso kaamua kubadilika kule ihefu kwa sasa ila huyu yondani bado msela mavi.