BAOSITA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2011
- 368
- 188
Habarini watata wenzangu wa Tech!Kumekuwa kuna watu wanadai kuuza line zenye free internet na wengine kudai kwamba hizo line ni zile zinazouzwa mitaani kwa sh 500 ama 1000 na ambazo hazijasajiliwa!Sasa kutoka na bughudha ya hizi tetesi,nimeona bora tupeane ushuhuda hapa wa hicho kitu.Kama kuna yeyote aliyefanikiwa kufany hivyo,tafadhali tugawane hayo maujanja hapa!
You heard me!
You heard me!