Yesu alikuwa naMajibu ya Kibabe sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
10,152
16,097
Unakumbuka siku ile vijana wanamfuata Yesu na kumwambia Kuhani Mkuu anataka kumuua kwahiyo aondoke Yesu aliwajibu?

โ€œNendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: โ€˜Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu."๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ (Luka 13:32)!

Sasa kipindi kile Yesu amepotea, haonekani nyumbani home kuna kiherehere mmoja alimfuata na kumwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.โ€

Alivyoshushuriwa sasa, hadi huruma, โ€œMama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.โ€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. (Luka 19-21).

Imagine mtu amdisi mpaka mama yake anashindwaje kumuita Mkuu wa nchi Mbweha? Mwamba hakutaka ujinga kabisa!

Alipokutana na Mama yake, Mariamu, Mama akajaribu kuwaka "Kwanini umetutesa hivi? Mimi na baba yako tumekutafuta siku tatu hekaluni."๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข

Sikiliza alivyomjibu mama yake "Hamkujua ya kuwa ilinipasa kuwamo nyumbani mwa baba yangu?" Huyo ndiyo Yesu naye mjua mimi. Hajui kuremba๐Ÿ˜„.

Sasa kiboko ni siku ile Yesu amewambia wanafunzi wake wahuni watamuua ila wasikonde atafufuka baada ya siku tatu, mshikaji wake Petro akamvuta Pembe na kumwambia "Hamna kitu kama hicho."

Yesu akamwambia "Ondoka mbele yangu. Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya Kimungu ila ni ya Kibinadamu!๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข. (Luka 13: 32).

Yaani Yesu ukizingua alikuwasha bila kujali hadhi yako. Ila wakati anasepa alimpa Petro shavu la nguvu! Hakumuacha Kinyonge.

Alimwambia *''Mt 16:18

Nami nakuambia, "Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda".. (Mt 16:18). Hapa tu ndo nilikomkubali sana Yesu. Hakuwa na bifu la kudumu.

Sasa siku ile Pilato akayakanyaga kumuulize "Je wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi? WEWE WASEMA๐Ÿ˜„! Jibu fupi lenye maudhi na kebehi kwa mkubwa. Ndiyo maana walimuua aisee!

Kuna moja alijibu "Si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa". Sikumbuki hapa alikuwa anamjibu nani.

Siku ile sasa mwanamke mzinifu anataka kula kichapo, unajua Yesu alisemaje? Anayejiona hana dhambi awe wa kwanza kumpiga huyu mwanamke." Watu wote nduki! Mwamba alikuwa hasomeki!๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ila kwa ufupi Biblia imejaa nyundo ukijichanganya umegongwa.

Kwamba "Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu" (Yakobo 4.3)!

Ila hapa kuna kaukweli ujue, maana kuna mtu anaokba utajiri ili akawakonge waliomsalimia kwa dharau.

Kwamba "Enyi Wagalatia msiokuwa na akili nani aloyewaroga?๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Wagalatia wamejaa hata huku kwetu. Ni watu lakini kama wehu tu!

Kwamba "Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka." (Mithali 27:22.).

Biblia bhana. Kwahiyo mpumbavu ni janga kumtoka mtu ni issue. Haya bhana!

Kwamba "Waacheni hao ni viongozi vipofu na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatukumbukia shimoni wote wawili."
(Mathayo 15:14). Ati nini!!๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š!

Ila kuna viongozi mpaka Mungu mwenyewe anawashangaa na shetani anawacheekaaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Sasa chukulia mfano wa lile liroboti lililokuwa linapokea wageni jana Bungeni Shetani akijua atatuonaje? Bora asione tu!

Kwamba "Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya sadaka zenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š (Malaki 2:3).Hapa sichangii!

Kwamba *"Mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wo wote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili (Mhubiri 12:12).

Hapo waandishi na wasomaji wa vitabu tukafikwa. Satunafanyaje hapa!๐Ÿคท๐Ÿคท๐Ÿคท

Kwamba "Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, kadharika mwanamke mzuri asiye na akili (Mithali 11:22).๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Wanawake leo mnalo. Njooni muonee!
 
Unakumbuka siku ile vijana wanamfuata Yesu na kumwambia Kuhani Mkuu anataka kumuua kwahiyo aondoke Yesu aliwajibu?

โ€œNendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: โ€˜Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu."๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ (Luka 13:32)!

Sasa kipindi kile Yesu amepotea, haonekani nyumbani home kuna kiherehere mmoja alimfuata na kumwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.โ€

Alivyoshushuriwa sasa, hadi huruma, โ€œMama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.โ€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. (Luka 19-21).

Imagine mtu amdisi mpaka mama yake anashindwaje kumuita Mkuu wa nchi Mbweha? Mwamba hakutaka ujinga kabisa!

Alipokutana na Mama yake, Mariamu, Mama akajaribu kuwaka "Kwanini umetutesa hivi? Mimi na baba yako tumekutafuta siku tatu hekaluni."๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข

Sikiliza alivyomjibu mama yake "Hamkujua ya kuwa ilinipasa kuwamo nyumbani mwa baba yangu?" Huyo ndiyo Yesu naye mjua mimi. Hajui kuremba๐Ÿ˜„.

Sasa kiboko ni siku ile Yesu amewambia wanafunzi wake wahuni watamuua ila wasikonde atafufuka baada ya siku tatu, mshikaji wake Petro akamvuta Pembe na kumwambia "Hamna kitu kama hicho."

Yesu akamwambia "Ondoka mbele yangu. Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya Kimungu ila ni ya Kibinadamu!๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข. (Luka 13: 32).

Yaani Yesu ukizingua alikuwasha bila kujali hadhi yako. Ila wakati anasepa alimpa Petro shavu la nguvu! Hakumuacha Kinyonge.

Alimwambia *''Mt 16:18

Nami nakuambia, "Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda".. (Mt 16:18). Hapa tu ndo nilikomkubali sana Yesu. Hakuwa na bifu la kudumu.

Sasa siku ile Pilato akayakanyaga kumuulize "Je wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi? WEWE WASEMA๐Ÿ˜„! Jibu fupi lenye maudhi na kebehi kwa mkubwa. Ndiyo maana walimuua aisee!

Kuna moja alijibu "Si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa". Sikumbuki hapa alikuwa anamjibu nani.

Siku ile sasa mwanamke mzinifu anataka kula kichapo, unajua Yesu alisemaje? Anayejiona hana dhambi awe wa kwanza kumpiga huyu mwanamke." Watu wote nduki! Mwamba alikuwa hasomeki!๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ila kwa ufupi Biblia imejaa nyundo ukijichanganya umegongwa.

Kwamba "Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu" (Yakobo 4.3)!

Ila hapa kuna kaukweli ujue, maana kuna mtu anaokba utajiri ili akawakonge waliomsalimia kwa dharau.

Kwamba "Enyi Wagalatia msiokuwa na akili nani aloyewaroga?๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Wagalatia wamejaa hata huku kwetu. Ni watu lakini kama wehu tu!

Kwamba "Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka." (Mithali 27:22.).

Biblia bhana. Kwahiyo mpumbavu ni janga kumtoka mtu ni issue. Haya bhana!

Kwamba "Waacheni hao ni viongozi vipofu na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatukumbukia shimoni wote wawili."
(Mathayo 15:14). Ati nini!!๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š!

Ila kuna viongozi mpaka Mungu mwenyewe anawashangaa na shetani anawacheekaaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Sasa chukulia mfano wa lile liroboti lililokuwa linapokea wageni jana Bungeni Shetani akijua atatuonaje? Bora asione tu!

Kwamba "Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya sadaka zenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š (Malaki 2:3).Hapa sichangii!

Kwamba *"Mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wo wote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili (Mhubiri 12:12).

Hapo waandishi na wasomaji wa vitabu tukafikwa. Satunafanyaje hapa!๐Ÿคท๐Ÿคท๐Ÿคท

Kwamba "Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, kadharika mwanamke mzuri asiye na akili (Mithali 11:22).๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Wanawake leo mnalo. Njooni muonee!
mwamba mmoja akaomba yesu asimamie mirathi, mbona alijuta

Luka 12:13-15​

Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, โ€œMwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.โ€ Yesu akamjibu, โ€œRafiki, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au msuluhishi kati yenu?โ€ Basi, akawaambia wote, โ€œJihadharini na kila aina ya tamaa; maana uhai wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.โ€
 
Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.
Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi na wewe? Saa yangu haijawadia.
 
Unakumbuka siku ile vijana wanamfuata Yesu na kumwambia Kuhani Mkuu anataka kumuua kwahiyo aondoke Yesu aliwajibu?

โ€œNendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: โ€˜Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu."๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ (Luka 13:32)!

Sasa kipindi kile Yesu amepotea, haonekani nyumbani home kuna kiherehere mmoja alimfuata na kumwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.โ€

Alivyoshushuriwa sasa, hadi huruma, โ€œMama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.โ€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. (Luka 19-21).

Imagine mtu amdisi mpaka mama yake anashindwaje kumuita Mkuu wa nchi Mbweha? Mwamba hakutaka ujinga kabisa!

Alipokutana na Mama yake, Mariamu, Mama akajaribu kuwaka "Kwanini umetutesa hivi? Mimi na baba yako tumekutafuta siku tatu hekaluni."๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข

Sikiliza alivyomjibu mama yake "Hamkujua ya kuwa ilinipasa kuwamo nyumbani mwa baba yangu?" Huyo ndiyo Yesu naye mjua mimi. Hajui kuremba๐Ÿ˜„.

Sasa kiboko ni siku ile Yesu amewambia wanafunzi wake wahuni watamuua ila wasikonde atafufuka baada ya siku tatu, mshikaji wake Petro akamvuta Pembe na kumwambia "Hamna kitu kama hicho."

Yesu akamwambia "Ondoka mbele yangu. Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya Kimungu ila ni ya Kibinadamu!๐Ÿซข๐Ÿซข๐Ÿซข. (Luka 13: 32).

Yaani Yesu ukizingua alikuwasha bila kujali hadhi yako. Ila wakati anasepa alimpa Petro shavu la nguvu! Hakumuacha Kinyonge.

Alimwambia *''Mt 16:18

Nami nakuambia, "Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda".. (Mt 16:18). Hapa tu ndo nilikomkubali sana Yesu. Hakuwa na bifu la kudumu.

Sasa siku ile Pilato akayakanyaga kumuulize "Je wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi? WEWE WASEMA๐Ÿ˜„! Jibu fupi lenye maudhi na kebehi kwa mkubwa. Ndiyo maana walimuua aisee!

Kuna moja alijibu "Si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwapa mbwa". Sikumbuki hapa alikuwa anamjibu nani.

Siku ile sasa mwanamke mzinifu anataka kula kichapo, unajua Yesu alisemaje? Anayejiona hana dhambi awe wa kwanza kumpiga huyu mwanamke." Watu wote nduki! Mwamba alikuwa hasomeki!๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ila kwa ufupi Biblia imejaa nyundo ukijichanganya umegongwa.

Kwamba "Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu" (Yakobo 4.3)!

Ila hapa kuna kaukweli ujue, maana kuna mtu anaokba utajiri ili akawakonge waliomsalimia kwa dharau.

Kwamba "Enyi Wagalatia msiokuwa na akili nani aloyewaroga?๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Wagalatia wamejaa hata huku kwetu. Ni watu lakini kama wehu tu!

Kwamba "Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka." (Mithali 27:22.).

Biblia bhana. Kwahiyo mpumbavu ni janga kumtoka mtu ni issue. Haya bhana!

Kwamba "Waacheni hao ni viongozi vipofu na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatukumbukia shimoni wote wawili."
(Mathayo 15:14). Ati nini!!๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š!

Ila kuna viongozi mpaka Mungu mwenyewe anawashangaa na shetani anawacheekaaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Sasa chukulia mfano wa lile liroboti lililokuwa linapokea wageni jana Bungeni Shetani akijua atatuonaje? Bora asione tu!

Kwamba "Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya sadaka zenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š (Malaki 2:3).Hapa sichangii!

Kwamba *"Mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wo wote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili (Mhubiri 12:12).

Hapo waandishi na wasomaji wa vitabu tukafikwa. Satunafanyaje hapa!๐Ÿคท๐Ÿคท๐Ÿคท

Kwamba "Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, kadharika mwanamke mzuri asiye na akili (Mithali 11:22).๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Wanawake leo mnalo. Njooni muonee!
Kuna yule mwamba aliitwa Yohana mbatizaji, alidakwa na njagu akawekwa rumande. kumbuka huyu mwamba alimbatiza Yesu
Alitegemea Yesu ataenda kumcheck na kumpelekea viwembe,sabuni na mafuta labda. Waaapi. Yesu kimya
Wanafunzi wake walipoenda kumcheck akawa tuma wamuulize yesu ,ni yeye au wamtarajie mwingine

MATHAYO 11​


2 Naye Yohana aliposikia huko gerezani matendo yake Kristo, alituma wanafunzi wake, kumwuliza, 3 Wewe ndiwe yule ajaye, au tumngojee mwingine? 4Yesu akajibu akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona; 5 vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema. 6 Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.

7 Na hao walipokwenda zao, Yesu alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwenda nyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo? 8Lakini mlitoka kwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi mororo? Tazama, watu wavaao mavazi mororo wamo katika nyumba za wafalme. 9 Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii. 10 Huyo ndiye aliyeandikiwa haya,
Tazama, mimi namtuma mjumbe wangu
Mbele ya uso wako,
Atakayeitengeneza njia yako mbele yako.
11 Lakini, nawaambieni, Hajatokea mtu katika wazawa wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.
 
Mathayo 21: 23-30

Yesu aliingia hekaluni, akawa anafundisha.
Alipokuwa akifundisha, makuhani wakuu na
wazee wa watu wakamwuliza, โ€œUnafanya
mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa
mamlaka haya?โ€ Yesu akawajibu, โ€œNa mimi
nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, basi nami
nitawaambia ninafanya mambo haya kwa
mamlaka gani. Je, mamlaka ya Yohane ya
kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka
mbinguni ama kwa watu?โ€ Lakini wakajadiliana
wao kwa wao hivi: โ€œTukisema, โ€˜Yalitoka
mbinguni,โ€™ atatuuliza, โ€˜Basi, mbona
hamkumsadiki?โ€™ Na tukisema, โ€˜Yalitoka kwa
watu,โ€™ tunaogopa umati wa watu maana wote
wanakubali kwamba Yohane ni nabii.โ€ Basi,
wakamjibu, โ€œHatujui!โ€ Naye Yesu akawaambia,
โ€œNami pia sitawaambia ninafanya mambo haya
kwa mamlaka gani.
 
Sasa siku ile Pilato akayakanyaga kumuulize "Je we ndiye Mfalme wa ahudi? WEWE WASEMA๐Ÿ˜„! Jibu fupi lenye maudhi

Pilato hakuyakanyaga, Yesu ndio aliukana ufalme wake na wa babaake. Alipatwa na "CAG moment." Mkuu wa Nchi akamuuliza CAG, eti ni kweli unachonga kwamba nchi hii ina ufisadi ? CAG akasema hayo ndio kwanza nayasikia kwako Mkuu.

Yesu, nae kama CAG, aliogopa kusema Ndio Pilato, siku zote nahubiri kwamba baba yangu ndio Mfalme wa Wayahudi, wa himaya hii, na wa dunia hii, na mimi nakaa ndani yake, na ni nafsi yake ya pili. Na nilikuwepo siku babaangu anaumba mbingu na nchi.

Badala yake Yesu akamwambia Pilato "wewe wasema." Yesu alichomoa!
 
Pilato hakuyakanyaga, Yesu ndio aliukana ufalme wake na babaake. Alipatwa na CAG moment. Pilato akamuuliza CAG, eti ni kweli unachonga kwamba nchi hii ina ufisadi ? CAG akasema ndio kwanza nayasikia kwako Mkuu.

Yesu angeweza kusema, ndio siku zote nahubiri kwamba baba yangu ndio Mfalme wa dunia hii, na mimi nakaa ndani yake, na ni nafsi yake ya pili.

Lakini Yesu akachomoa!
Weka mstari.
 
Mathayo 6:5

Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.
.
Mathayo 6:7
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.

HAPA YESU KAWACHANA WALOKOLE ILA WAO HATA HAWAELEWI
Ndo kwanza wanafungua maredio na maruninga ili waendelee kufokea watu

Tumwewachoka bwana
 
Back
Top Bottom