YES Tunahitaji Apartments Tanzania Lakini si kila Mkoa

Please dont quote me again cause I wont see what you write. You are on my ignore list.

I have already wasted enough time, its not interesting anymore...
 
Please dont quote me again cause I wont see what you write. You are on my ignore list.

I have already wasted enough time, its not interesting anymore...

Marco,
Nimefuatilia huu mjadala tangu mwanzo. Nilizani utafanya hivo muda mrefu sana.

Kuna watu wana vichwa kama nazi!

Hata hivyo asante kwa michango yako, hasa kuhusu marketing na sale.
 
Mimi nafikiri tujifunze kuwa hapa tunaeleweshana na inakuwa vizuri watu wenye elimu, wanapobishana kwa hoja.
Mimi nimejifunza mengi kwenye hii thread kwa sababu nilikuwa mbioni kukopa apartment, lakini watu tunachokosea na wa TZ au mimi nilichokikosa ni elimu ya watu wengi kama hapa,mtu ukiamka asubuhi unafikiri ili mradi mtu anaweza kukukopa US$ 200,000 basi uzitumbukize kwenye apartment-hamna sehemu yenye forum ambapo mtu unaweza kusikiliza na kuuliza na kupata opinion za watu wengi kama hapa.Nawashukuru wote waliochangia.
BTHW jamani TZ mambo mengine hayaendi kama dunia nyingine,hivi unaweza kuamini mtu-watu wenye haya magorofa yenye apartments DSM wanaziuza kabla hayajaisha?na jengo ukiona limeisha jua limeishauzwa lote?lakini cha kuchekesha sijajua inakuwaje watu wanakwepa kodi kiasi hiki,naelewa kila mtu anapenda kukwepa kodi, lakini alipe kidogo,just imagine wengi wa wa hawa wote wanataka hizo thousands of US$ uwalipe cash?ni kweli TRA,police,wizara zote hazina nguvu ya kuona hiki kitu kilicho wazi?
Wacha wengine tujiishie tulikozoea.
:tape:
 
Maendeleo huwa hayangojei sehemu iendelee ama ichangamke kwanza na maendeleo siku zote hufuatwa.....

Tukisema apartment zisijengwe kila mkoa ni kukosea nyumba ni asset Leo unapojenga nyumba sehemu flani jua kabisa umepeleka chachu na umeongeza maendeleo kwani utajenga wewe kesho kuna mwingine atapenda ulichofanya naye atajenga mwisho wa siku tunapata miji...in next 10,20-50yrs...maisha yanakuwa yashachange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ExpertBroker,
Pia Kweny kilimo kuna vertical farming,hydroponics, green house nk.Huu upuuzi wote Tanzania unafeli.Huwezi niambia eti watu wa mbeya,morogoro walime vertical farming ni upuuzi na kuinua uchumi wa wazungu kwa vifaa vya kulimia na madawa.Sisi Africa na Tanzania ni nchi zenye ardhi kubwa mito ya kumwaga bado tulime kama wazungu ni upuuzi wa ajabu.green house nyingi zimefeli kwa sababu gharama ni kubwa na bei sokonivya mazao hailitabiriki.Wizara ya kilimo haina dira ya teknolojia gani zinafaaa hapa ndio sawa na hayo ya makazi ni kukurupuka tu.
 
Back
Top Bottom