Hakuna asiejua ni nini kinaendelea huku Socioni, kupitia kwa social network kuanzia jana usiku majira wa saa mbili usiku hadi hivi leo ninapoandika ujumbe huu kuwa ari iyopo kwa baadhi ya watanzania tunaoitembelea mitando ya kijamii especially Twitter.
Ni ajabu sana kuona matukio makubwa kama haya huyu kijana sijaona hata post yake, ambapo hatujamzoe kama ilivyo ada yake mchangiaji mkubwa na mkosoaji mkubwa wa Mtukufu wetu na mtu mwenye power pia na mitandao.
Swali: Yeriko nyerere Why jambo hili sioni mchango wake? au nae Upepo wa Kisulisuli umemchukua?
View attachment 1238530