Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,951
Hii ndio habari iliyotangazwa hivi punde na Jeshi la Yemen. Kwa sasa hakuna meli yeyote itakayoweza kuruhusiwa kupita kuelekea Israel.
Itakumbukwa hapo mwanzo Jeshi la Yemen lililenga meli zinazomilikiwa na raia wa Israel tu ila kwa sasa agizo limekuja ni kwa meli zote haziruhusiwi kukatiza strait of Bab Al mandeb imekua closed mpaka itakapotangazwa vinginevyo.
Wayameni wanajua kuongea lugha inayoeleweka kwa Israeli na Marekani.
Itakumbukwa hapo mwanzo Jeshi la Yemen lililenga meli zinazomilikiwa na raia wa Israel tu ila kwa sasa agizo limekuja ni kwa meli zote haziruhusiwi kukatiza strait of Bab Al mandeb imekua closed mpaka itakapotangazwa vinginevyo.
Wayameni wanajua kuongea lugha inayoeleweka kwa Israeli na Marekani.