johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,894
Kuna mambo tunayashuhudia leo ambayo kiuhakika kama wahusika wangepatiwa semina elekezi basi wasingedhurika.
Labda ndio maana watumishi wa Mahakama kila mwaka wanakuwa na Wiki ya sheria ambayo hupeana maelekezo.
Ingependeza kama mihimili mingine ingefuata utaratibu kama ule wa Mahakama ili kupunguza gharama za kutumbua majipu na kufanya chaguzi ndogo zisizo na mbele wala nyuma.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Labda ndio maana watumishi wa Mahakama kila mwaka wanakuwa na Wiki ya sheria ambayo hupeana maelekezo.
Ingependeza kama mihimili mingine ingefuata utaratibu kama ule wa Mahakama ili kupunguza gharama za kutumbua majipu na kufanya chaguzi ndogo zisizo na mbele wala nyuma.
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!