Yatawashindaaaa haoo!

Mhh mpaka nimechoka leo kagonga wine ya wapi hio.

Hhahahahahhaaaaaaa saaalaaammm waaaleeeikuuum waaalaaah!!!!!! rahajeeeeeeeeeee..........

Niko hivi...................... Eeeeeekoootikeeeeee (in bass voice) hahahahahhaaaaaaaaa.............................
 
Mmh!hapa wanahitajika wataalamu wa kuunganisha dot.

You are very clever....................... hahaah Eeeeekootikeeeh.............
 

Kiufupi hawana jipya yote wanayofanya ni zilipendwa mie kwangu nawaona haradani tuu aka mazombie. Nashukuru kunisaidia kuwafikishia ujumbe na ujumbe huo huo utawafikia wa mtaani na wa ofisini................

Kasie anapiga hii....................... Eeeekotikeeeeh............... ah................
 
Nahisi Khantwe unasali kanisa moja na Kasinde, ila ni hisia zangu na sio lazima kila hisia ifike kileleni😉

Abeeeeh!!! .......................... Atiiiiii...................... hivyooo ...............eeeeh!!!................... Eeeekotikeeeh!!!!!!
 
Yeleuwiiiiiii!!! yaalaaaaaah!!!!

Aah wapi nimekwepa nazuga tu.
 
Yeleuwiiiiiii!!! yaalaaaaaah!!!! Aah wapi nimekwepa nazuga tu.
Hhahahahaaaaa .............. twende pamoja eeh.........................Eeeekkoootiikeeeeeeeee hahahahaaa
 
Mwombe Khadija Kopa akutungie wimbo kisha hiyo cd uwe unaicheza kwa sauti ya juu home kwako!
 
Mwombe Khadija Kopa akutungie wimbo kisha hiyo cd uwe unaicheza kwa sauti ya juu home kwako!

Hapana chezea batu ba mtoto wa mkulima...... Eeeeehkotiiiikeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…