Yatakayojiri huko Tunisia tarehe 09/11/22 baada ya Yanga kudhalilishwa na Mwarabu

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
303
1,158
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1. Waarabu wamebebwa kwao
2. Mpira wa africa ni mgumu sana
3. CAF wanazibeba timu za kiarabu
4. Nabi hana maajabu
5. Wachezaji wetu wazee
6. Refa katunyima penati mbili
7. Tujipange kwa ajili ya mwakani
8. Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9. Tuachane na ushindi wa tigopesa
10. Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1.Waarabu wamebebwa kwao
2.Mpira wa africa ni mgumu sana
3.CAF wanazibeba timu za kiarabu
4.Nabi hana maajabu
5.Wachezaji wetu wazee
6.Refa katunyima penati mbili
7.Tujipange kwa ajili ya mwakani
8.Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9.Tuachane na ushindi wa tigopesa
10.Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hahahah
 
Waacheni wazururaji hao wapigwe arba then wajee kutengeneza unbeat za bahasha.
 
Hizi nguvu za kuisimanga yanga na hizi nyuzi kedekede nyie wanasimba mngezielekeza kuwasifia na kuwapa zaidi morali simba queens.

Huu upupu wa yanga yanga yanga kila mtu anaandika hivi hamchoki aisee.
 
Hizi nguvu za kuisimanga yanga na hizi nyuzi kedekede nyie wanasimba mngezielekeza kuwasifia na kuwapa zaidi morali simba queens.

Huu upupu wa yanga yanga yanga kila mtu anaandika hivi hamchoki aisee.
Hatuchoki hadi mdhalilishwe ndiyo tutachoka
 
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1.Waarabu wamebebwa kwao
2.Mpira wa africa ni mgumu sana
3.CAF wanazibeba timu za kiarabu
4.Nabi hana maajabu
5.Wachezaji wetu wazee
6.Refa katunyima penati mbili
7.Tujipange kwa ajili ya mwakani
8.Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9.Tuachane na ushindi wa tigopesa
10.Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app

Yanga yafungwe tu
Mmeshamaliza kujamba?
 
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1.Waarabu wamebebwa kwao
2.Mpira wa africa ni mgumu sana
3.CAF wanazibeba timu za kiarabu
4.Nabi hana maajabu
5.Wachezaji wetu wazee
6.Refa katunyima penati mbili
7.Tujipange kwa ajili ya mwakani
8.Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9.Tuachane na ushindi wa tigopesa
10.Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Vipi bado unasimamia msimamo wako??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1.Waarabu wamebebwa kwao
2.Mpira wa africa ni mgumu sana
3.CAF wanazibeba timu za kiarabu
4.Nabi hana maajabu
5.Wachezaji wetu wazee
6.Refa katunyima penati mbili
7.Tujipange kwa ajili ya mwakani
8.Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9.Tuachane na ushindi wa tigopesa
10.Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hizo goli mbili uliwasaidia club africain kusajili wafungaji?
 
Kwangu naona Al Hilal walikuwa wachovu sana kwa Yanga, kuanzia home ground had away, Al Hilal kule kwao ndio hakuna cha maana walichokifanya, Yanga walikuwa na uwezo kabisa wa kupindua meza kule Sudan lkn wakashindwa.

Wakasema wanamalizia hasira kwa mtunisia, kilichotokea kila mtu kaona, ngoma ilikuwa suluhu.

CLUB Africain sio kama Al Hilal, na haifanani na Al Hilal, mtunisia hawez kutolewa nyumbani kwake tena na timu kama Yanga, Mark my words, Esperance walipigwa ugenini na Plateau ya Nigeria, wakaend kupewa penati dakika ya 80 na ngoma ikaishia hapo, Yanga watafungwa zaid ya bao 2 hiyo gemu na kama nadanganya tusubiri hiyo j5.

Hayo mambo ya kuwahi Tunisia mapema cjui kutuonyesha lodge waliyofikia Yanga ni upuuzi mtupu.

Sasa yatakayojiri huko baada ya gemu.

1.Waarabu wamebebwa kwao
2.Mpira wa africa ni mgumu sana
3.CAF wanazibeba timu za kiarabu
4.Nabi hana maajabu
5.Wachezaji wetu wazee
6.Refa katunyima penati mbili
7.Tujipange kwa ajili ya mwakani
8.Simba ndio hatimiliki ya michuano hii
9.Tuachane na ushindi wa tigopesa
10.Sisi tukimfunga Simba inatosha


Kudadadeki zenu.


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
zwazwa bin upopoma
 
Back
Top Bottom