msg ipo hivi....tanesco imebeba mzigo wa dowans,through migongo ya wtz(kode zetu),then pamoja na hayo hakuna unafuu wowote....tunatoka kwenye mgao tunaelekea gizani....
Ukiitafakari hiyo katuni wanaofaidika ni dowance na siyo Tanesco wala wananchi, wananchi ndio wanaumia sana na bado hakuna umeme kama ukiwepo ni wa mgao