Tanzania bado tunakumbwa na tatizo la uaminifu katika magari. Mtu anaagiza magari ya kuuzwa lakini anaanza kuyachezea Mara atoe radio Mara abadilishe engine nk.
Naomba kama mwenye kujua ninapoweza kupata IST ya kwenye Yard ya magari ambao ni waaminifu.
Tafadhali nipe uelekeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using
Jamii Forums mobile app