Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Kumekuwa na 'lack of consistency' kwenye message toka kwa Rais Kikwete na hata viongozi kadhaa ndani ya CCM. Mara kadhaa wamenukuliwa wakisema kuwa uchaguzi uliisha na sasa ni muda wa kufanya kazi, sasa anasema kuisha kwa uchaguzi mmoja ni mwanzo wa uchaguzi mwingine.
Ana maana waige toka kwa chadema hakuna kulala!ndio maana anakazania eti na mawaziri makatibu wakuu waende vijijini.
Wamechanganyikiwa hawajui hata wanachokisema.
Ndugu zangu,
Nimemsikia Kikwete akiwaambia mawaziri kwenye semina elekezi Dodoma kwamba uchaguzi unapoisha unaashiria mwanzo wa uchaguzi unaofuata. Hivi nchi hii itakuja iendelee lini jamani kama mawazo ya kiongozi wetu yanajielekeza kwenye uchaguzi tu?
Halafu kinachoninyima raha ni kwamba kwa CCM maandalizi ya uchaguzi maana yake ni pamoja na kupiga propaganda za kijinga kama anavyowaagiza wasaidizi wake kwamba, waende vijijini wakapeleke habari kuhusu mambo yanayofanywa na serikali yake, kana kwamba hawana macho.
Badala ya kujielekeza katika mipango ya kukuza uchumi aliyowaahidi wananchi ndani ya miaka mitano, yeye anaongelea uchaguzi. Kwa kweli kama ni cha mtema kuni, sasa watanzania tunakipata kweli kweli kwa kumchagua huyu mswahili.
Unamaanisha CUF?Nafikiri hili pia lielekeze kwa watani wa CCM wanaoota kuchukuwa madaraka hata huo muda wa uchaguzi haujafika!
Nafikiri hili pia lielekeze kwa watani wa CCM wanaoota kuchukuwa madaraka hata huo muda wa uchaguzi haujafika!
WALIOCHANGANYIKIWA ZAIDI NI CHADEMA AMBAO MARA BAADA YA UCHAGUZI WAMEANZA "KUTEKELEZA" AHADI ZAO KWA WANANCHI WALIOWACHAGUA MAJIMBONI NA KWENYE KATA KWA MAANDAMANO YASIYO NA KICHWA WALA MIGUU!! Tatizo hapa ni Slaa, hana kazi ya kufanya, hivyo anawashinikiza wenzake waache majimbo yao na kuhangaika hovyo na hoja ambazo wangeweza kabisa kuzi-raise Bungeni! Mshaurini Slaa, atulie kumsaidia "mchumba" ajifungue salama kajukuu.
WALIOCHANGANYIKIWA ZAIDI NI CHADEMA AMBAO MARA BAADA YA UCHAGUZI WAMEANZA "KUTEKELEZA" AHADI ZAO KWA WANANCHI WALIOWACHAGUA MAJIMBONI NA KWENYE KATA KWA MAANDAMANO YASIYO NA KICHWA WALA MIGUU!! Tatizo hapa ni Slaa, hana kazi ya kufanya, hivyo anawashinikiza wenzake waache majimbo yao na kuhangaika hovyo na hoja ambazo wangeweza kabisa kuzi-raise Bungeni! Mshaurini Slaa, atulie kumsaidia "mchumba" ajifungue salama kajukuu.
Ndugu zangu,
Nimemsikia Kikwete akiwaambia mawaziri kwenye semina elekezi Dodoma kwamba uchaguzi unapoisha unaashiria mwanzo wa uchaguzi unaofuata...
... kwa CCM maandalizi ya uchaguzi maana yake ni pamoja na kupiga propaganda za kijinga kama anavyowaagiza wasaidizi wake kwamba, waende vijijini wakapeleke habari kuhusu mambo yanayofanywa na serikali yake, kana kwamba hawana macho.
Badala ya kujielekeza katika mipango ya kukuza uchumi aliyowaahidi wananchi ndani ya miaka mitano, yeye anaongelea uchaguzi...
,...Tatizo hapa ni Slaa, hana kazi ya kufanya,...
WALIOCHANGANYIKIWA ZAIDI NI CHADEMA AMBAO MARA BAADA YA UCHAGUZI WAMEANZA "KUTEKELEZA" AHADI ZAO KWA WANANCHI WALIOWACHAGUA MAJIMBONI NA KWENYE KATA KWA MAANDAMANO YASIYO NA KICHWA WALA MIGUU!! Tatizo hapa ni Slaa, hana kazi ya kufanya, hivyo anawashinikiza wenzake waache majimbo yao na kuhangaika hovyo na hoja ambazo wangeweza kabisa kuzi-raise Bungeni! Mshaurini Slaa, atulie kumsaidia "mchumba" ajifungue salama kajukuu.