Yanga yamsimamisha kazi mpiga picha wao

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Uongozi wa Yanga umemsimamisha kazi mpiga picha wao Chicharito,uongozi huo umemsimamisha huyo mpiga picha wao jioni ya leo baada ya kuingia kambini kupiga picha bila idhini ya uongozi.

Inasemekana uongozi ulikuwa na hofu kwamba ameangizwa na upande wa pili (watani wa jadi) kudadisi kinachoendelea kuelekea mechi ya kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1577825112275.jpeg

Inawabidi wawe na imani tu na watu wao!
 
Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
 
Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
Yanga ni Yanga siku zote.
Kesho mnyama anakatwa mkia.
 
Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
Duh kumbe na wewe ni mhenga. Hiyo squard weka mbali na watoto, mikia walikuwa wanakufa siku WK moja kabla.
 
Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
Bi dada hii Yanga ya mwaka gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom