Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Uongozi wa Yanga umemsimamisha kazi mpiga picha wao Chicharito,uongozi huo umemsimamisha huyo mpiga picha wao jioni ya leo baada ya kuingia kambini kupiga picha bila idhini ya uongozi.
Inasemekana uongozi ulikuwa na hofu kwamba ameangizwa na upande wa pili (watani wa jadi) kudadisi kinachoendelea kuelekea mechi ya kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana uongozi ulikuwa na hofu kwamba ameangizwa na upande wa pili (watani wa jadi) kudadisi kinachoendelea kuelekea mechi ya kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app