Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Timu ya soka ya Yanga ukiikaribisha Klabuni kwako hawana haraka ya kuondoka, wao ni wakarimu sana utakumbuka waliwahi kupiga hodi AS VITA ya Congo na baada ya kukaribishwa waliacha simulizi yao ambayo inadumu mpaka leo.
Na sasa ni pale Asec Mimosas walianza na Yao na sasa mkono umehamia kwa mchezaji huyu raia wa Ivory Coast anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji akiwa kijana wa miaka 20 tu na kama mambo yatakwenda vizuri Sankara atakuwa MWANANCHI.
Na sasa ni pale Asec Mimosas walianza na Yao na sasa mkono umehamia kwa mchezaji huyu raia wa Ivory Coast anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji akiwa kijana wa miaka 20 tu na kama mambo yatakwenda vizuri Sankara atakuwa MWANANCHI.