Yanga wasikubali milioni 100 za Azm

Yanga wasikubali milioni 100 za Azm

Joined
Jun 22, 2013
Posts
76
Reaction score
13
Timu ya Yanga nitimu kubwa na inawapenzi wengi kama ilivo Simba kwa hapa nchini.Kitendo cha Tff kutaka kuwaingiza mkenge wa kukubali udhamini wa Azam ni kuidhalau.Fedha wanayopata toka ka kwa mgadhili wao mkuu na mwenyekiti wao bwana Manj,ni kubwa kuliko hiyo ya ufadhili wa Adui yao.nawashauri wapokee ufadhili wa pepsi cola wa mil.600 tuone hao tff watambuluza nani.
 
Kuna msemo unasema ukisusa wenzio twala! Timu kumi na tatu zimekubali unategemea nini? Hahisi yanga watogomea mechi watakazo kuwa wenyeji tu, ugenini hawatakuwa na ubavu! Au sheria zinasemaje?
 
Yanga waswahili sana....nliwasikiliza na wale wazee wao akili mali na wengine nikaona tuan safari ndefu sana......huwezi ukakataa udhamimni kisa mwenyekiti wenu anahela...ni ujinga
 
Back
Top Bottom