nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Nimekaa hapa na mashabiki wa Tasaf fc wanalia kwa uchungu wakidai Aishi manula afungiwe kwa kitendo chake cha kuingia uwanjani kushangilia goal ilihali alikuwa benchi
Ninawasihi TFF wakubaliane nao hawa ombaomba kumfungia manula na refa kwa muda wa mwaka mmoja kwa makosa makubwa waliyofanya leo, tulipiga hadi simu kule kwa papaa zahera yaani Congo na kuuliza kama inakubalika wakasema haikubaliki huku wakitucheka sana
Namsubiri papaaa zahera afafanue kiundani matukio ya leo nina hakika kwenye mateams makubwa ya ulaya aliyofundisha kama vile PSG hajawahi ona kitendo kama cha manula au dakika kuongezwa 7 za nyongeza,kaja kuyaona Tanzania tu hata kule ku congo kuko byeee sana
Ninawasihi TFF wakubaliane nao hawa ombaomba kumfungia manula na refa kwa muda wa mwaka mmoja kwa makosa makubwa waliyofanya leo, tulipiga hadi simu kule kwa papaa zahera yaani Congo na kuuliza kama inakubalika wakasema haikubaliki huku wakitucheka sana
Namsubiri papaaa zahera afafanue kiundani matukio ya leo nina hakika kwenye mateams makubwa ya ulaya aliyofundisha kama vile PSG hajawahi ona kitendo kama cha manula au dakika kuongezwa 7 za nyongeza,kaja kuyaona Tanzania tu hata kule ku congo kuko byeee sana