Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Baadhi ya wanachama wa Yanga wakifanya fujo klabuni hapo kupinga mkutano wa waandishi wa habari uliokuwa ufanywe na mwenyekiti wa klabu hiyo Bw. Loyd Nchunga leo mchana ambapo polisi walifika klabuni hapo na kuimarisha ulinzi hadi Fullshangweblog inaondoka klabuni hapo bado kulikuwa na kundi la wanachama na kila moja akiongea la kwake na mkutano ulikuwa bado kufanyika.
Kutoka Fullshangwe
Kutoka Fullshangwe