Wafungaji ni kina nani jamanii? Kwa misupu naona ni Uhuru, Mgosi, Mgosi na Echesa na Yanga ni Nurdin na Tegete kulikoni hapa hivo huyo Ngassa wao yumo?
Wafungaji ni kina nani jamanii? Kwa misupu naona ni Uhuru, Mgosi, Mgosi na Echesa na Yanga ni Nurdin na Tegete kulikoni hapa hivo huyo Ngassa wao yumo?
Pulizii mtani kupewa kadi nyekundu ni kutoka na wao kuzidiwa ndio maana wakacheza ndivyo sivyo. Kummpiga mweziyo kichwa siyo soka hiyo labda cage fighting.
Kandambili leo alikuwa achapwe tu ...uwezo wa kumchapa tulikuwanao, sababu ya kumchapa tulikuwanayo na nia ya kumchapa tulikuwa nayo.....hahaaa hongera wekundu
Hahaaaaaaaaaaa....Nikajua ni ile ya akina Mzimba.....Ya Kamati ya ufundi....Hongera kwa ushindi(kwa lugha yetu ile ya Seminarini twasema 'Congratulations pro wining venatus'.....Pamoja frater
Pulizii mtani kupewa kadi nyekundu ni kutoka na wao kuzidiwa ndio maana wakacheza ndivyo sivyo. Kummpiga mweziyo kichwa siyo soka hiyo labda cage fighting.
Hahaaaaaaaaaaa....Nikajua ni ile ya akina Mzimba.....Ya Kamati ya ufundi....Hongera kwa ushindi(kwa lugha yetu ile ya Seminarini twasema 'Congratulations pro wining venatus'.....Pamoja frater