SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,342
Save my post.Wadau kama kawaida yetu Yanga, Simba huwa hawatusumbui
Wakichomoka pona pona yao ni sare bila ivyo wameumia sababu simba mwaka huu amekua dhaifu Sana mbele ya wananchi. Mimi Nampa yanga ushindi wa mbili kwa moja Tena yanga ataanza kufunga mbili simba atarudisha goli moja dakika ya 80 kuendelea
Save my post
Haya niambie sasa. Pole sana.