Tunahitaji point 3 kwa kila mechi, hizo point huja kuanzia goli moja. Yanga inakamiwa sana na kila timu, hata mechi zake ni za ushindani wa hali ya juu na mashabiki hupata burudani safi! Mbona teja la LIBOLO linapata taabu kujipatia point 3 kila mechi? Tafakari.