Yanga sc Vs Ruvu shootings

mkuu Kitoabu hii harufu ninayoinusa ndio kinyesi ulichoahidi kukitoa???
 
Last edited by a moderator:
Nime ghairi siwezi kutekeleza ile hazma niliyo iweka kwakua mumenunua mechi, nyampaf
 
Tutakutana tena wiki ijayo.

Taifa Stars vs Morocco.

Kwaherini!!!
 
Msemaji wa RUVU alisema wana ndoto za kuchukua ubingwa,vipi bado zipo au zimeyeyuka ghafla.
 
hivi uwezo wa yanga ni kufunga goli moja tu? kila mechi ...

Tunahitaji point 3 kwa kila mechi, hizo point huja kuanzia goli moja. Yanga inakamiwa sana na kila timu, hata mechi zake ni za ushindani wa hali ya juu na mashabiki hupata burudani safi! Mbona teja la LIBOLO linapata taabu kujipatia point 3 kila mechi? Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…