brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Klabu ya Yanga ikifanya kazi karibu na mdhamini wake GSM imemtangaza kocha Luc Eymail kuwa kucha mkuu atakaechukua mikoba ya mwinyi Zahera
Luc anauzoefu na soka la Africa na akiwa ametwaa mataji kadhaaa na vilabu tofauti.
Ametwaa ubingwa akiwa na AS Vita ya DRC Congo
Kocha huyo atatua Saa 8:30 mchana kiwanja Cha ndege Zanzibar kuungana na timu moja kwa moja kwenye michuano ya mapinduzi
=====
Mfahamu Kocha Mpya Yanga Kwa Ufupi | .
:
✓ 26 August 2010, aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa AS Vital ya Congo .
:
✓ Msimu wake wa kwanza aliisaidia AS Vita kumaliza Juu ya Tp Mazembe na kuisaidia pia kushinda Super Coupe du Congo 2011. Pia aliisaidia kuifikisha Raundi ya pili ya michuano ya CAF Champions league. Aliweka Rekodi ya mechi 23 bila ya kufungwa na baadae 2011 April alijiuzulu kufundisha timu hiyo
:
✓ 2011, 1 Julai alijunga na Missile ya Gabon kama kocha mkuu, na aliisaidia timu hiyo kushinda taji lao la kwanza la ligi katika historia yao, pia akaisaidia timu hiyo kufika Raundi ya 16 CAF Confederation Cup na kupoteza goli kwa penati 0-3 dhidi ya JS Kabylie baada ya Aggr ya 3-3.
:
Timu Nyingine alizo zifundisha Luc ni
2013 - Leopard, 2014 - Rayon Sport, 2014/15 - Js Kairouan, 2015 - Al Nasr, 2015/16 - Al Merrikh, 2016/17 - Polokwame City, 2017/18 - Free state Star, 2018/19 - Talae's El Gaish, 2019 - Black Leopard.
Sent using Jamii Forums mobile app
Luc anauzoefu na soka la Africa na akiwa ametwaa mataji kadhaaa na vilabu tofauti.
Ametwaa ubingwa akiwa na AS Vita ya DRC Congo
Kocha huyo atatua Saa 8:30 mchana kiwanja Cha ndege Zanzibar kuungana na timu moja kwa moja kwenye michuano ya mapinduzi
=====
Mfahamu Kocha Mpya Yanga Kwa Ufupi | .
:
✓ 26 August 2010, aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa AS Vital ya Congo .
:
✓ Msimu wake wa kwanza aliisaidia AS Vita kumaliza Juu ya Tp Mazembe na kuisaidia pia kushinda Super Coupe du Congo 2011. Pia aliisaidia kuifikisha Raundi ya pili ya michuano ya CAF Champions league. Aliweka Rekodi ya mechi 23 bila ya kufungwa na baadae 2011 April alijiuzulu kufundisha timu hiyo
:
✓ 2011, 1 Julai alijunga na Missile ya Gabon kama kocha mkuu, na aliisaidia timu hiyo kushinda taji lao la kwanza la ligi katika historia yao, pia akaisaidia timu hiyo kufika Raundi ya 16 CAF Confederation Cup na kupoteza goli kwa penati 0-3 dhidi ya JS Kabylie baada ya Aggr ya 3-3.
:
Timu Nyingine alizo zifundisha Luc ni
2013 - Leopard, 2014 - Rayon Sport, 2014/15 - Js Kairouan, 2015 - Al Nasr, 2015/16 - Al Merrikh, 2016/17 - Polokwame City, 2017/18 - Free state Star, 2018/19 - Talae's El Gaish, 2019 - Black Leopard.
Sent using Jamii Forums mobile app