Kwa mchezaji yeyote anayetaka kucheza yanga na ama aliyepo yanga kwa sasa, ajue hii ndio timu ya hatma ya ubora wake.
Ubora wanaouonesha kwa sasa hautawahi kuonekana tena akisajiliwa na timu nyingine vinginevyo awe na utaalam wa kutengua majini yanayofugwa pale jangwani.
Na kwa sasa naona yameongezeka na wameanza kuwa na utaratibu wa kuyatolea sadaka ya damu. Hawa ng'ombe wanaochinjwa maana yake ndiyo hiyo.
Kucheza yanga ni hatari, jichanganye!
Ubora wanaouonesha kwa sasa hautawahi kuonekana tena akisajiliwa na timu nyingine vinginevyo awe na utaalam wa kutengua majini yanayofugwa pale jangwani.
Na kwa sasa naona yameongezeka na wameanza kuwa na utaratibu wa kuyatolea sadaka ya damu. Hawa ng'ombe wanaochinjwa maana yake ndiyo hiyo.
Kucheza yanga ni hatari, jichanganye!