Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Yanga wanajua pasi na shaka kwamba hawana tena uwezo wa kupambana na Simba uwanjani kutokana na ubora wa vikosi na wanajua kikosi na cha Simba ni mbingu na Ardhi.
Ndipo wanapoamua kuja na hoja za kinafiki ili kutaka kuichafua Simba ionekane inapata ushindi wenye mashaka na sio kwa uwezo wa timu. Na sasa Mungu anawaumbua.
Walianza na kulaumu marefa. Kabla halijathibitishwa wakaja na hadithi ya kutunga kwamba Kidawa alitaka kuhongwa Ist ili apate kadi asipangwe kabla halijathibitishwa wakaja na kituko cha mwaka kwamba Simba inapuliza dawa vyumbani. Kabla halijathibitishwa wakaleta mpya eti Simba inanunua wapinzani wake.
Haya yote sasa yanathibitika kumbe ndiyo michezo yao na wakishafanya wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kinafiki na kuwazushia Simba hawataki tena kuzungumzia takwimu na ubora wa timu bali unafiki na uzushi.
Huwezi kuwa na Tshishimbi, Mapinduzi, Niyonzima, Japhari, Juma Abdul, Molinga na Yikpe. Ukataka upambane na timu yenye watu wa kati kama Kapombe, Shabalala, Mkude, Chama, Kahata, Boko, Dilunga na Kagere, lazima utafeli tu.
Simba inafanya vizuri kwa kuwa ina kikosi bora kama timu na mchezaji mmoja mmoja. Simba kadri siku zinavyokwenda inazidi kuwa bora zaidi na siku si nyingi mtakubali tu Simba hii imeboreshwa zaidi na ni bora kuliko ya msimu uliopita.
Yanga haina kikosi bora na inakosa wachezaji wa kuhimili mechi zenye presha ya kuekekea mwishoni mwa ligi.
Haya mechi yenu na Polisi mligoma kuingia vyumbani mbona hamkushinda? Au mnataka kutuaminisha Polisi nao huwa wanafanya kama nyie mnavyofanya vyumbani? Mbona sasa marefa wamekuwa wakikataa magoli mnayofungwa? Rejea mechi za Ruvu, Mbeya City na Polisi zote zimekataliwa magoli yao halali. Huwa mnawapa nini marefa na hawaoni hayo magoli? Mkishatuharibia marefa wetu mnawahi kuwatuhumu Simba.
ULE MUDA WA BINGWA KUPANGWA MEZANI AU KUSHINDA KWA PROPOGANDA HAUPO TENA. SIKU HIZI UTANDAWAZI UMETANDAWAA MECHI ZINAONYESHWA NA KILA MTU ANAONA. TUNAJUA HUKO NYUMA ILIWEZEKANA FIGISU ZENU MPAKA MNAITWA MABINGWA WA KIHISTORIA KWA VIKIMBE MLIVYOKUWA MKIBEBA KWA KUBEBWA NA MAGUMASHI. BADILIKENI TENGENEZENI TIMU BORA YA KUSHINDA UWANJA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo wanapoamua kuja na hoja za kinafiki ili kutaka kuichafua Simba ionekane inapata ushindi wenye mashaka na sio kwa uwezo wa timu. Na sasa Mungu anawaumbua.
Walianza na kulaumu marefa. Kabla halijathibitishwa wakaja na hadithi ya kutunga kwamba Kidawa alitaka kuhongwa Ist ili apate kadi asipangwe kabla halijathibitishwa wakaja na kituko cha mwaka kwamba Simba inapuliza dawa vyumbani. Kabla halijathibitishwa wakaleta mpya eti Simba inanunua wapinzani wake.
Haya yote sasa yanathibitika kumbe ndiyo michezo yao na wakishafanya wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kinafiki na kuwazushia Simba hawataki tena kuzungumzia takwimu na ubora wa timu bali unafiki na uzushi.
Huwezi kuwa na Tshishimbi, Mapinduzi, Niyonzima, Japhari, Juma Abdul, Molinga na Yikpe. Ukataka upambane na timu yenye watu wa kati kama Kapombe, Shabalala, Mkude, Chama, Kahata, Boko, Dilunga na Kagere, lazima utafeli tu.
Simba inafanya vizuri kwa kuwa ina kikosi bora kama timu na mchezaji mmoja mmoja. Simba kadri siku zinavyokwenda inazidi kuwa bora zaidi na siku si nyingi mtakubali tu Simba hii imeboreshwa zaidi na ni bora kuliko ya msimu uliopita.
Yanga haina kikosi bora na inakosa wachezaji wa kuhimili mechi zenye presha ya kuekekea mwishoni mwa ligi.
Haya mechi yenu na Polisi mligoma kuingia vyumbani mbona hamkushinda? Au mnataka kutuaminisha Polisi nao huwa wanafanya kama nyie mnavyofanya vyumbani? Mbona sasa marefa wamekuwa wakikataa magoli mnayofungwa? Rejea mechi za Ruvu, Mbeya City na Polisi zote zimekataliwa magoli yao halali. Huwa mnawapa nini marefa na hawaoni hayo magoli? Mkishatuharibia marefa wetu mnawahi kuwatuhumu Simba.
ULE MUDA WA BINGWA KUPANGWA MEZANI AU KUSHINDA KWA PROPOGANDA HAUPO TENA. SIKU HIZI UTANDAWAZI UMETANDAWAA MECHI ZINAONYESHWA NA KILA MTU ANAONA. TUNAJUA HUKO NYUMA ILIWEZEKANA FIGISU ZENU MPAKA MNAITWA MABINGWA WA KIHISTORIA KWA VIKIMBE MLIVYOKUWA MKIBEBA KWA KUBEBWA NA MAGUMASHI. BADILIKENI TENGENEZENI TIMU BORA YA KUSHINDA UWANJA
Sent using Jamii Forums mobile app