Vaeni na nyie kama jezi ndio inachezaHivi sheria inasemaje juu ya uvaaji wa jezi aina moja home and away? Naona jamaa hawabadili jezi.
Mlianza na marefa ikaja bahasha sasa hivi imekua jezi kesho mtakuja na mgao wa umemeMganga wenu atawaponza
Gadiel Michael Mbaga kamaliza adhabu yake ya kuroga?Mganga wenu atawaponza
Kutoka kua mchezaji mpka urozi,Gadiel Michael Mbaga kamaliza adhabu yake ya kuroga?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Hii hivi!Mganga wenu atawaponza
Unaniuliza mimi tena?Alimwaga unga, kwan vitu vyenye asili ya unga ni uchawi?
Itakua glucoseAlimwaga unga, kwan vitu vyenye asili ya unga ni uchawi?
Kanuni ipo, ila sema wanaimudu ndio maana inaonekana hakuna shida na maisha yanaendeleaHakuna Sheria yoyote inayowabana Yanga kuendelea kutumia jezi nyeusi.
Mbona mnhamisha mpira?.hapa hoja ni jezi ya Yanga nyeusi
Mazindiko FC