Yanga leo watafungwa 4-0

hata tukifungwa hatutoki. Tunaendelea kupambana. Kwa hesabu ya haraka tunahitaji point 10 ili kufuzu hatua inayofuata, uwezo wa kuzipata pia tunao
 
Ingependeza saaana yanga kushinda. Tatizo uwezo "hawana".
Matamanio bila juhudi,maarifa n.a. mbinu ni bure!
Nawatakia wapate wanachostahili.
Ningewatizama lakini kuna "big match"siwezi kuangalia chandimu!
Una wivu kama mkeo?
Mamamayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom